Nina rafiki yangu ambaye ni kama
ndugu,tumetoka mbali sana na sasa ni kama mtu na kaka yake.Jamaa yangu
huyu(hajaoa) alikuwa na dem flani lakini walishindwana kwa matatizo
yao binafsi wakawa wameachana kama mwaka mmoja uliopita.
Kwa kuwa nilikuwa nishatambulishwa kwa
shemej yangu huyo basi hata baada ya kuachana na jamaa yangu tukawa
tunasalimiana,iko siku ananipigia na mimi kuna siku
↧