Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Lowassa amtembelea Tundu Lissu hospitali

Waziri Mkuu wa zamani na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa leo Oktoba 24 amemtembelea na kumjulia hali Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu ambaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara...

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe Ajibu Mapigo ya Kupika Data za Serikali

Mbunge na kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa yupo tayari kuwajibika kuhusu kinachodaiwa kupika taarifa za serikali endapo Rais Magufuli ataruhusu ukaguzi maalumu wa CAG...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja...

Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi Chadema aendelea kusota rumande

Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imesema itaendelea kumshikilia Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa Chadema, Kigaila Benson.Kigaila aliyeripoti Kituo Kikuu cha Polisi jana Jumatatu Oktoba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Octoba 25

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yalifunga gazeti la Tanzania Daima kwa siku 90

Serikali imesitisha uchapishaji na usambazaji wa gazeti la Tanzania Daima kwa muda wa miezi mitatu kuanzia Oktoba 24, 2017.Uamuzi huo umetokana na makosa makubwa katika toleo na. 4706 la Oktoba 22,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Tawala wa Iringa awataka walimu kutumia kondomu Na Walioathirika...

Na Fredy Mgunda, Iringa Walimu wa halmashauri ya Manispaa ya Iringa wametakiwa kutumia kondomu ili kujikinga na magonjwa ya zinaa ambayo yamekuwa yakipunguza nguvu kazi ya taifa.Hayo yamesemwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msajili wa NGOs alisimamisha shirika linalotuhumiwa kujihusisha na ukahaba

Ofisi ya Msajili wa Taasisi zisizo za Serikali imesimamisha shughuli za Shirika la KBH Sisters kuanzia tarehe 24 Oktoba, 2017 ili kupisha uchunguzi unaofanywa dhidi ya tuhuma za shirika tajwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali kuendeleza ushirikiano na Umoja wa Mataifa katika kuleta maendeleo

Na Thobias Robert-Maelezo Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikiana na umoja wa mataifa katika kuleta maendeleo, katika sekta za kiuchumi na kijamii, kulinda amani, kuimarisha sekta ya viwanda na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais azitaka taasisi za kifedha kufungua matawi vijijini

Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu amezitaka taasisi za kifedha nchini kuboresha huduma kwa kufungua matawi maeneo ya vijijini ili kuwafikia wananchi wengi na hasa wanawake ili wazitumie huduma hizo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sekta Binafsi Yashauriwa Kupeleka Changamoto Zao Serikalini

Sekta Binafsi imetakiwa kuwasiliana moja kwa moja na Serikali ili kutatua changamoto zinazoikabili badala ya kupitia wadau wa nje kwanza, kwa kuwa mlango wa Serikali uko wazi kwa ajili ya majadiliano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene,...

        NATURAL BEAUTY PROD. NDIYO KAMPUNI PEKEE INAYOTOA BIDHAA ORIGINAL GARANTII PAMOJA NA SISITI.  Sasa ni wakati wako mpendwa wa kupendeza na bidhaa hizi bila kemiko wala madhara kwa mtumiaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH....Anatoa Pete za Bahati,...

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH CHIEF SULTAN MAKATA Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tatizo la Nguvu za Kiume na Chanzo cha Kuwa na Maumbile Madogo

Wataalam katika chuo kikuu cha tiba johns hopkins wanakili kuwa asilimia 75% ya wanaume duniani wamepatwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.Tatizo hili linasababishwa na kushuka kwa TESTOSTERON...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watumishi wanolewa kudhibiti matumizi mabaya ya Gharama za Uchaguzi

Na Monica Laurent, Ofisi ya Msajili wa Vyamavya SiasaMsajili wa Vyama vya Siasa nchini Mhe. Jaji Francis S.K Mutungi amewataka watumishi kutoka ofisi yake kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamanda Mamboasa Alaani Kitendo cha Polisi Kuwapiga Wananchi

Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imelaani vitendo vilivyofanywa na askari ambavyo havina maadili ya kazi.Taarifa ya polisi ya jana Jumanne Oktoba 24,2017 imesema jalada limeshafunguliwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ofisa TRA Kizimbani Kwa Kumiliki Magari 19 Yasioendana Na Kipato Chake

Ofisa Msaidizi wa Forodha wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Jennifer Mushi amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka mawili ikiwamo la kumiliki magari 19 na kuishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tarehe Rasmi ya Kuanza Masomo Vyuoni Yatangazwa.

Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU)  Profesa Eleuther Mwageni amesema wanafunzi ambao tayari wamekidhi vigezo na kupitishwa kujiunga na elimu ya juu wanatakiwa kuripoti chuoni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya Bunge Yakerwa na Kitendo cha Polisi Kuwaingilia kwa Kuwakamata...

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imelaani kitendo cha jeshi la polisi kumkamata na kumhoji mwandishi wa habari wa gazeti la Nipashe, Agusta Njoji kutokana na habari aliyoiandika mwishoni mwa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>