Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali yalifunga gazeti la Tanzania Daima kwa siku 90

$
0
0
Serikali imesitisha uchapishaji na usambazaji wa gazeti la Tanzania Daima kwa muda wa miezi mitatu kuanzia Oktoba 24, 2017.

Uamuzi huo umetokana na makosa makubwa katika toleo na. 4706 la Oktoba 22, 2017 likiwa na habari ya uongo kuwa “Asilimia 67 ya Watanzania Wanatumia ARVs”


Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>