Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya Disemba 30

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Francis Cheka atangaza ramsi kustaafu ngumi

Bondia maarufu nchini Tanzania Francis Cheka, jana ametangaza rasmi kustaafu mchezo wa msumbwi kwa kile alichokieleza ni ubabaishaji wa ma-promota pamoja na kutopata faida katika mchezo huo.Cheka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Washitakiwa Wanne Mauaji wa Dr. Mvungi Waachiwa Huru

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru washitakiwa wanne kati ya 10 waliokuwa wanakabiliwa na mashitaka ya mauaji ya bila  kukusudia ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu: Wasichana waachwe wasome

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuwalinda watoto wa kike na ndiyo maana inasisitiza waachwe wasome hadi wamalize kidato cha sita.Alitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC Singida aagiza atakayeugua kipindupindu afikishwe mahakamani

Na Nathaniel Limu, SingidaWatu wawili wakazi wa jimbo la Singida Kaskazini mkoani Singida, wamefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa hatari wa Kipindupindu unaotokana na uchafu.Akizungumza na mwandishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baba Adaiwa kumlawiti mtoto wake wa kiume

Mwanamume mwenye miaka 45 Yohana Omari anatafutwa na Polisi kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miaka 16, kwa zaidi ya miaka miwili. Omari ametoroka baada ya kupata taarifa kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jela maisha kwa kupora simu ya Sh110,000 na kujeruhi

Kesi ya wizi wa simu aina ya Tecno iliyochukua takriban miaka miwili mahakamani, imefika tamati kwa mtuhumiwa kufungwa maisha jela. Hukumu hiyo ilifikiwa jana katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, baada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi Chadema Arusha Wakamatwa Na Polisi

JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu 12, wakiwemo viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Arusha.Viongozi hao walikamatwa kwa amri ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pata Dawa za Asili za Kupunguza Maziwa, Kuondoa Michirizi, Kuongeza Unene,...

NATURAL BEAUTY COSMETICS Ni wauzaji wa vipodozi aina mbali mbali na vyenye matokeo mazuri na ya haraka zaidi bila kemikali wala madhara yoyote       Tunazo za:👇👇👇👇1. Kutengeneza shepu hipsi na makalio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Urusi Yaapa Kulipiza Kisasi Baada ya Marekani Kuwatimua Wanadiplomasia wa Urusi

Urusi imeonya kwamba italipiza kisasi hatua ya rais wa Marekani Barrack Obama ya kuwatimua wanadiplomaisa 35 wa Urusi kufuatia tuhuma kwamba Urusi iliingilia maswala ya uchaguzi wa Marekani kwa njia ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Waziri Nchemba atembelea WCB, aahidi kuongeza kasi ya kulinda kazi za...

Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba wiki hii alitembelea ofisi ya WCB iliyopo Sinza Mapambano jiji Dar es salaam na kujionea uwekezaji uliofanywa na label hiyo ambayo ipo chini ya Diamond...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Atikisa Australia....Wimbo Wake Wavunja Rekodi ya Mwaka

Diamond Platnumz haishi kutuamsha na habari kubwa zinazohusiana na nyimbo zake.Siku moja baada ya DW kuitaja ngoma aliyoshirikishwa na marehemu Papa Wemba, Chacun Pour Soi kuwa imefunga mwaka kwa kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamko la Zitto Kabwe kuhusu madeni anayodaiwa, mshahara na mali alizonazo

Leo December 30, 2016 Mbunge Zitto Kabwe kutoka Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) kupitia akaunti yake facebook ametoa taarifa kuhusu madeni anayodaiwa, kiwango cha mshahara wake wa mwaka, kiasi cha pesa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha : Hali ya mwanamuziki Chid Benz yazidi kuwa mbaya

Watu wengi walionyesha kusikitishwa baada ya habari kuenea kuwa mwanamuziki Rashid Mkwiro maarufu Chid Benz ametoroka kwenye nyumba ya matibabu (Sober house) alipokuwa akipatiwa matibabu kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilichosababisha bondia Francis Cheka kufungiwa kucheza ngumi

Leo December 30, 2016 Kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini (TPBC) imetangaza kumfungia kwa miaka miwili Bondia wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka kufuatia kitendo chake cha kugoma kupanda ulingoni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamanda Sirro Katoa Tathmini ya Uhalifu Dar kwa Mwaka Mmzima wa 2016

KIKOSI cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imekamata jumla ya watuhumiwa 13,626 na kuwafikishwa mahakamani kwa tuhuma mbalimbali, ikiwemo dawa za kulevya na ujambazi wa kutumia silaha kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rose Ndauka: Sina mahusiano ya kimapenzi na MC Pilipili

Baada ya kuenea uvumi katika mitandao ya kijamii kuwa mchekeshaji MC Pilipili anatoka kimapeniz na Rose Ndauka, muigizaji huyo amekanusha uvumi huo.Wiki chache zilizopita kupitia kipindi cha The Play...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Basi la National Express lapata ajali Singida....Wawili Wafariki, 26 Wajeruhiwa

Watu wawili wamefariki dunia na wengine 26 kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha basi la kampuni ya National Express T.662 DEF, baada ya kuacha barabara na kupinduka zaidi ya mara tatu katika eneo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Fedha na Mipango azungumzia ukuaji wa uchumi wa Taifa kwa kipindi...

Nashukuru kupata fursa ya kuzungumza nanyi  leo kuhusu hali ya uchumi wa Taifa kwa kipindi cha Julai – Desemba, 2016 na matarajio hadi Juni 2017. Nitajitahidi kutumia lugha rahisi ili wananchi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Disemba 31

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>