Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijana afariki dunia baada ya Nyoka wake kupigwa hadi kufa

Mkazi wa Mtaa wa Mateka, Manispaa ya Songea, Denis Komba (26) afariki dunia baada ya nyoka wake aliyekuwa amembeba kwenye mfuko wa jaketi kuuawa na wananchi.Komba alifariki dunia katika hospitali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dhamana ya Mbunge Godbless Lema Yakwama.....Arejeshwa Gerezani

Mbunge Godbless Lema amerejeshwa tena rumande leo baada ya rufaa yake ya kupinga kunyimwa dhamana kushindikana kusikilizwa kama ilivyokuwa imepangwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo.Rufaa hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: Simu ya Rais yatoa kelele za watu wakifanya mapenzi mahakamani

Moja ya habari ambazo zimeandikwa sana na vyombo vya habari vya kimataifa ni pamoja na hii inayomhusu Rais wa Bolvia Evo Morales.Rais Evo Morales akiwa mahakamani kwenye kikao pamoja na wanasheria wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Diseba 29

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bodi ya Mikopo yaja na mbinu nyingine ya kukusanya madeni kwa wadaiwa sugu

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesema kuanzia mwanzoni mwa Januari mwakani, itaanza kuchapisha majina na picha za wadaiwa sugu kwenye vyombo vya habari waliohitimu katika vyuo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hapi Aishika Pabaya Kampuni Ya Zantel.......Yalipa Mapato Zaidi Ya Milioni...

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel Tanzania imelipa zaidi ya Sh milioni 687 baada ya kupewa siku saba na halmashauri hiyo iwe imelipa fedha hizo ambazo zilikuwa za kodi ya pango inazodaiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Achangia Mabati Ujenzi Wa Zahanati

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewahimiza wakazi wa vijiji saba wilayani Ruangwa waharakishe kufyatua matofali ili waanze ujenzi wa zahanati na yeye atawachangia mabati.Ametoa ahadi hizo jana (Jumatano,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu 7 Wafikishwa Mahakamani kwa kumchoma mkuki mdomoni mkulima

POLISI mkoani Morogoro imewafikisha mahakamani watu saba kati ya 12, kujibu tuhuma za kumjeruhi kwa kumchoma mkuki mdomoni hadi kutokea shingoni, Augustino Mtitu (35).Walipandishwa kizimbani jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mapya Yaibuka Sakata la Kijana Aliyefariki Baada ya Nyoka wake Kuuawa na...

Tukio  la kushangaza lililohusishwa na kifo cha Denis Komba (24) baada ya nyoka aliyekuwa naye kuuawa, limechukua sura mpya baada ya mambo kadhaa kuibuka.Hayo ni pamoja na familia kudai mzoga wa nyoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mikoa ya Njombe, Iringa na Mbeya yaongoza kwa maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI

Kutokana na maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi kupungua kwa asilimia 50 duniani kote na kupelekea watu milioni 2.1 tu kuambukizwa Virusi vya Ukimwi katika mwaka 2015,kumeibua matumaini mapya ya kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke wa anayedaiwa kutobolewa macho na ‘Scorpion’ atoa ushahidi Mahakamani

Stara Sudi, mke wa Saidi Mrisho ameieleza Mahakama ya Wilaya ya Ilala, jinsi alivyoshtuka baada ya kupokea simu aliyopiga mumewe kuwa amevamiwa na kuchomwa visu machoni, mgongoni na tumboni. Akiongozwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wassira akimbilia Mahakama ya Rufaa kumpinga Bulaya

WAZIRI mwandamizi wa serikali ya Tanzania kwa awamu nne za uongozi, Stephen Masato Wassira, kupitia kwa wafuasi wake watatu, amekata rufaa Mahakama ya Rufaa, akipinga uamuzi wa Mahakama Kuu kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bodi ya Mikopo yawatosa Watanzania wanaosoma China

Watanzania waliopata ufadhili wa kusoma nchini China, hawatapata mikopo baada ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kuwaondoa kwenye orodha ya wanufaika. Taarifa iliyotolewa na HESLB,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyemkashifu Mtume Z’bar Kufikishwa Kortini

JESHI la Polisi Zanzibar linatarajia kumfikisha mahakamani mtu anayedaiwa kumkashifu Mtume Muhammad (S.A.W).Mtuhumiwa huyo, Dk. Abdallah Saleh Abdallah (50), mkazi wa Kikwajuni mjini Unguja, baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amuua Rafiki Yake....... Ala Ubongo wake na Sehemu Za Siri

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya, linamshikilia mchimba dhahabu, Shija Salum (38), mkazi wa Kahama mkoani Shinyanga kwa tuhuma za kumuua rafiki yake na kula ubongo wake.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ofa ya Kufunga Mwaka: Jipatie Vitabu Vya Riwaya za Kusisimua Toka kwa Mtunzi...

Ninawashukuru wasomaji wangu wote ndani na nje ya Tanzania hasa  mlio soma story zangu za SORRY MADAM na SHE IS MY WIFE. Tukiwa tumebakisha siku chache kabla hatujamaliza mwaka. Ninawakaribisha kununua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SORRY MADAM -Sehemu ya 9 & 10 (Destination of my enemies)

MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWAILIPOISHIA   “Muheshimiwa tumemkosa”Askari walio agizwa kwenda kumfwatilia Mzee Godwin walikuja huku wakihema kana kwamba ni kweli waliweza kumfwatilia ila ukweli ni kwamba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Ashiriki Msiba Wa Mzee Maarufu Wa Chato Admirabilis Mbabe...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Desemba, 2016 ameungana na wananchi wenzake Wilayani Chato mkoani Geita kutoa pole kutokana na kifo cha Mzee Admirabilis...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majibu ya barua ya mkazi wa Dodoma aliyoandika kwa Rais Dkt Magufuli

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ufafanuzi kuhusu taarifa za kukamatwa kwa Watanzania wanaodaiwa ni majasusi...

Baadhi ya Vyombo vya habari vya hapa nchini hivi karibuni vilitoa taarifa kuwa, Watanzania 8 wanaodaiwa kuwa ni majasusi wa Serikali ya Tanzania wamekamatwa nchini Malawi kwa tuhuma za kuingia kwenye...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live