Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amani Kuchochea Fursa Za Kazi, Ajira Umoja Wa Afrika Kwa Vijana Watanzania

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu), Mhe. Patrobas Katambi, amesema, kutokana na Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais, Samia Suluhu Hassan, kuendelea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikosi kazi chapendekeza mchakato Katiba mpya kuanzia 2025

Kikosi kazi cha kuratibu maoni ya Wadau wa Demokrasia ya vyama vingi vya siasa kimependekeza Tan’zania ianze harakati ‘za kupata katiba mpya baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.Akisoma mapendekezo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto aliyewadhalilisha wenzake kufikishwa mahakamani

Kesi nane za ukatili wa kingono kati ya 19 zinazohusu watoto waliodhalilishwa na mtoto mwenzao mwenye umri wa miaka 14 mkoani Iringa, zinatarajiwa kufikishwa mahakamani wiki hii.Kamanda wa polisi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Ndalichako Akagua Maendeleo Ya Ujenzi Wa Ofisi Ya Wizara Jijini Dodoma

Na: Mwandishi wetu – DodomaWaziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako ametembelea na kukagua maendeleo ya awamu ya pili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Spika Dkt. Tulia Alihutubia Bunge La Umoja Wa Mabunge Duniani (IPU)...

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akilihutubia Bunge la Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) mbele ya Wajumbe wa Umoja huo katika Mkutano wa 144 wa I.SPIKA wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Wa Uingereza Nchini Tanzania Aridhishwa Na Utendaji Kazi Wa Rais Samia.

BALOZI wa Uingereza nchini, amesifu uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia  demokrasia hapa nchini ikiwa ni mwaka mmoja tangu aingie madarakani.Akizungumza jana na waandishi wa habari jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutana na Shariff Ally Mtaalam wa Tiba Asili Tanzania

 KUTANA NA Shariff Ally MTAALAM WA TIBA ASILI TANZANIAShariff Ally ANAPATIKANA Tanzania  Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wenyeviti Mabaraza Ya Ardhi Watakiwa Kuepuka Mazuio Yasiyo Na Tija

 Na Munir Shemweta, WANMM SENGEREMASerikali imewataka Wenyeviti wa Mbaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya kujiepusha na tabia ya uwekaji mazuio yasiyo na tija dhidi ya  uuzaji wa nyumba za wadaiwa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania kuungana nchi za SADC kuadhimisha Siku ya Ukombozi Kusini mwa Afrika

 Na Eleuteri Mangi - WUSM, DodomaSerikali ya Tanzania itaungana na Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuadhimisha Siku ya Ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika Machi 23, 2022 wilaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je, Unasumbuliwa na Tatizo la Kisukari na Nguvu za Kiume?...SUPER NHESHA ni...

SUPER – NHESHANi dawa ya kutibu tatizo la sukari au jina la kitaalamu (Diabetes Mellitus) ni kundi la magonjwa yanayohusiana na ufanyaji kazi wa mwili ambapo Mtu anakuwa na kiwango kikubwa cha sukari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Biden amnyooshea kidole cha lawama Putin kwa kutumia silaha za maangamizi

Rais wa Marekani Joe Biden, amemshtumu Rais wa Urusi Vladimir Putin kupanga kutumia silaha za kemikali dhidi ya watu wa Ukraine, baada ya kudai kuwa Kiev ina hifadhi ya silaha hizo hatari.Aidha,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Majaliwa Akutana Na Waziri Mkuu Wa Qatar

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Qatar, Sheikh Khalid bin Khalifa bin Abdulaziz Al Thani ambapo wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta mbalimbali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yapokea Maombi Ya Kujiunga Na Taasisi Ya Africa50

Na. Ramadhani Kissimba na Eva Valerian, WFM - DodomaWaziri wa Fedha na Mipango, Mhe.Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameiahidi Taasisi ya Africa50 kuwa Serikali imepokea maombi ya kuitaka Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania yapata msaada wa Bilioni 469

Serikali ya Tanzania na umoja wa ulaya zimesaini mikataba mitatu ya MSaada wenye thamani jumla ya Shilingi bilioni 469.4 kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa ushirikiano wa miaka saba baina ya umoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi wanaotuhumiwa kwa mauaji wafikishwa tena mahakamani

Maofisa saba wa Jeshi la Polisi nchini wanaotuhumiwa kwa mauaji ya mfanyabiashara wa madini Musa Hamisi (25) mkoani Mtwara, wamefikishwa mahakamani leo ikiwa ni kwa mara ya tano.Hata hivyo Hakimu mkazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wahamiaji Haramu 68 Wakamatwa Kilimanjaro

 Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji mkoani humo, wamewakamata Wahamiaji 68 wasio na vibali kutoka Ethiopia na Somalia waliokuwa wamejificha katika maeneo tofauti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo March 20

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Urusi yadai kuwauwa wanajeshi 100 wa Ukraine mjini Schytomyr

Shambulio la Urusi katika kituo cha mafunzo cha karibu na mji wa kati wa Ukraine wa Schytomyr ladaiwa kuwauwa wanajeshi 100 wa Ukraine na wengine wa kigeni. Taarifa hizo zinatolewa katika kipindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo March 23

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Abdul Nondo Afutiwa Kesi

Mahakama ya Rufani Tanzania, Masjala ya Iringa imeondoa kesi iliyokuwa inamkabili aliyekuwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP).Nondo alikuwa anashtakiwa kwa makosa mawili, moja ni...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>