Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAKUKURU Manyara wamsaka Babu Joha kwa kutumia nyaraka feki kupata kazi...

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), mkoa wa Manyara imewaomba watanzania kusaidia kutoa taarifa zitakazosaidia kupatikana  kwa Mmiliki wa kampuni ya JACO SERVICES GROUP John Stepheni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matumizi Ya Tehama Mahakama Yafikia Asilimia 71

Na Magreth Kinabo – MahakamaMwenyekiti wa Kamati ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) na Takwimu   ya Jaji Mkuu, Mhe. Shaaban   Lila amewataka  wajumbe wa kamati hiyo kutoa uzoefu wao kuhusu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Majaliwa Ahani Msiba Wa Kifo Cha Mwanasiasa Mkongwe Nchini balozi...

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Mwanasiasa Mkongwe nchini, Balozi Job Lusinde, nyumbani kwa marehemu eneo la Kilimani jijini Dodoma, kutoa pole kwa familia,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Aenda Kutoa Pole Nyumbani Kwa Marehemu Balozi Job Lusinde...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiandika kwenye kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha aliyewahi kuwa Waziri katika Baraza la kwanza la Mawaziri la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uteuzi Mpya Uliofanywa na Rais Magufuli Leo Alhamisi July 09

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa July 10

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Jafo amuondoa Meneja wa TARURA Arusha kutokana na kutokutoa taarifa za...

Na.Angela Msimbira ARUSHAWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa. Mhe. Selemani Jafo amemuagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini  na Mijini Mhandisi Victor Seif...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Wa Wakili Mkuu wa Serikali na Naibu Wakili Mkuu...

Rais Magufuli amemteua Gabriel Malata kuwa Wakili Mkuu wa Serikali akichukua nafasi ya Julius Mashamba.Kabla ya uteuzi Malata alikuwa Naibu Wakili Mkuu wa Serikali.Aidha, Rais Magufuli amemteua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majina Matatu Ya Wagombea Urais Zanzibar Kujadiliwa Leo

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi jana ilikutana jijini Dodoma na kufanyia kazi taarifa ya Kamati Kuu Maalum ya Visiwani Zanzibar, kupokea taarifa kutoka Sekretarieti ya Halmashauri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watuhumiwa Wa Bangi mkoani Arusha Wafikishwa Mahakamani

Wakulima wawili wakazi wa Mwandeti jijini Arusha, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mfanyakazi Wa Ndani Auawa Baada ya Kuwaua Kwa Mapanga Watoto Wawili wa Bosi Wake

NA MWAMVUA MWINYI, PWANIMFANYAKAZI wa kazi za ndani mwanaume,Yasin Abdala (35), Kitongoji cha Kivungwi Kwazoka ,Kata ya Vigwaza Chalinze,Bagamoyo mkoani Pwani ameuwawa na wananchi wenye hasira kali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge Wawili CCM Wahojiwa TAKUKURU

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Dodoma, imewahoji wabunge wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaomaliza muda wao, Livingstone Lusinde (Mtera) na Peter Serukamba (Kigoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Lukuvi Apokea Msaada Wa Compyuta 10 Kutoka Benki Ya Azania

Na Munir Shemweta, WANMM DODOMAWaziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amepokea msaada wa Kompyuta 10 zenye thamani ya milioni 12 kutoka Benki ya Azania.Msaada huo ulipokelewa leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE: Ufunguzi wa Kikao Cha Halmashauri Kuu ya CCM- Kujadili Mgombea Urais...

LIVE: Ufunguzi wa Kikao Cha Halmashauri Kuu ya CCM- Ukumbi wa White House Dodoma

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING: Majina Matatu Yaliyopitishwa na Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM...

Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM  umepitisha majina matatu ya wagombea Urais wa Zanzibar, ambao ni ;1.Dk Khalid Salim Mohamed,2. Dkt Hussein Ali Mwinyi na 3. Shamsi Vuai Nahodha.Wagombea walikuwa 31,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING: CCM Wamsamehe Na Kufuta Adhabu ya Katibu mstaafu wa CCM Abdulrahman...

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemsamehe Katibu Mkuu Mstaafu wa chama hicho Abdulrahman Kinana na kumfutia adhabu ya miezi 18 aliyokuwa akiitumikia.Tangazo hilo limetolewa jijini Dodoma na Mwenyekiti wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Usichelewe .....Pakua sasa hivi App Ya Mpekuzi Ikiwa na Maboresho Mapya. Ipo...

Tumefanya Maboresho Kwenye App Yetu ya Mpekuzi Ili Kukuwezesha Kupata Habari zetu Haraka Usikubali kupitwa na taarifa muhimu zinazoendelea hapa nchini na Duniani  kwa Ujumla . Tumejipanga vizuri sana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanasheria Akaro-Simba Richmond Achukua Fomu Ya Kugombea Urais Kupitia CHADEMA

Mwanasheria Akaro-Simba Richmond  amechukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania, kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Simba amekabidhiwa fomu hiyo leo Ijumaa tarehe 10 Julai 2020 katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt Hussein...

Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt Hussein Mwinyi amesisitiza ushirikiano na mshikamano ndani ya chama hicho wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu mwezi oktoba mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Kuwa Mgombea Wa Urais wa Jamhuri Ya...

Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM  umempitisha Dkt John Magufuli  kuwa mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa ndiye mwanachama pekee aliyejitokeza kuchukua fomu.Endelea Kuwa Nasi...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>