Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kwa Umma: Uteuzi Mpya wa Makatibu Tawala 06 wa Wilaya

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika kwa mamlaka aliyokasimiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Latika Magazeti ya Leo Jumanne July 7

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Kufuta Ada Ya Usajili Kwa Watoa Huduma Ya Msaada Wa Kisheria Ili...

NA TIGANYA  VINCENSERIKALI inafanyia kazi wazo la kufuta ada ya usajili kwa watoa huduma ya watoa  msaada wa kisheria na Wasaidizi wa Msaada wa kisheria ili kuhakikisha huduma hiyo inawafikia  wananchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bodi ya Mkonge Kuanzisha Vitalu vya Miche, Kuwawezesha wananchi kupata fursa...

Na. Mwandishi Wetu-MAELEZO Serikali kupitia Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), kwa kushirikiana na halmashauri mbalimbali nchini ambako zao la mkonge linalimwa imesema itaanzisha vitalu vya zao hilo ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hakuna Kuhuisha Hati Za Miaka 33 Kwa Wamiliki Wa Ardhi Wasioendeleza Viwanja-...

Na Munir Shemweta, WANMM GEITAWaziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Makamishna Wasaidizi wa Ardhi katika ofisi za ardhi za mikoa nchini kuhakikisha wamiliki wote wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mpya Wa Mkuu wa Wilaya na Wakurugenzi Watano

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ni Marufuku Taasisi Zilizosajiliwa Kutoa Huduma Za Msaada Kisheeria...

NA TIGANYA VINCENTTAASISI zinazotoa  huduma za  msaada wa kisheria na Wasaidizi wa Msaada wa kisheria zimetakiwa kuhakikisha hazijiingizi katika masuala ya kisiasa ikiwemo kuwapiga kampeni wagombea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walimu Watatu Watiwa Mbaroni Na TAKUKURU Mkoani Kagera Kwa Kufanya Udanganyifu.

Na Avitus Benedicto Kyaruzi,Kagera.Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Kagera inawashikilia walimu watatu  wa shule ya Sekondari Kalenge Day iliyopo katika halmashauri ya wilaya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tigo na Tecno wazindua Tecno Spark 5 saba saba

Meneja Bidhaa za Intaneti-Tigo Mkumbo Myonga akizungumza na waandishi wa habari ( hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa simu Mpya ya TecnoSpark5 ambapo Mteja atanunua kwa bei ya laki 333,000 na kupata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bashe Aagiza Mbegu Bora Za Mahindi Na Alizeti Ziuzwe Kwa Bei Nafuu Kiteto

Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe jana tarehe ( 06.07.2020 ) ameagiza kuwa mbegu bora za mazao ziuzwe kwa bei nafuu ili wakulima wamudu gharama na kuongeza uzalishaji  wa mazao ya kilimo.Alitoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bashe: Wakulima Jifunzeni Uhifadhi Bora Kuepuka Sumukuvu Kwenye Mazao

Serikali imesema katika kuhakisha tatizo la sumukuvu kwenye mazao ya wakulima linapatiwa ufumbuzi elimu kwa wakulima ni muhimu kutolewa.  Kauli hiyo imetolewa leo wilayani Kiteto na Naibu Waziri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara ya elimu nchini Kenya Yafuta Kalenda ya masomo kwa shule za upili na...

Wizara ya elimu nchini Kenya imefuta Kalenda ya masomo kwa shule za upili na msingi kwa mwaka 2020.Waziri wa elimu nchini Kenya Prof. George Magoha ametangaza kuwa hakutakuwa na mitihani ya kitaifa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kada wa CHADEMA Dkt Mayrose Majinge Achukua Fomu Ya Kugombea Urais Kupitia...

Leo Julai 7, 2020, mwanachama wa CHADEMA  Dkt Mayrose Majinge, amejitokeza kuchukua fomu ya kuomba uteuzi wa kugombea nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020.Dk. Majinge amekabidhiwa fomu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Mbeya, Albert Chalamila Atengua Uamuzi wake Wa Kugombea Ubunge

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila, amesema kuwa hawezi kukiuka maagizo ya Rais Magufuli aliyowataka wateule wake kuridhika na nafasi walizonazo, hivyo ameamua kuendelea kuwatumikia wananchi wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Kuimarisha Usafiri Wa Majini-Waziri Mkuu

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema malengo ya Serikali ni kuimarisha usafiri kwenye maziwa yote na bahari ili kuwawezesha Watanzania wafanye biashara na mataifa ya nje.“Malengo yetu ni kuruhusu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano July 8

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FBI Yadai China ni Tishio kwa Marekani.....Ni Baada ya Kuituhumu Kuanza...

MKURUGENZI wa shirika la FBI nchini Marekani amesema kwamba vitendo vya upelelezi na wizi unaotekelezwa na serikali ya China ni tishio la muda mrefu kwa Marekani. Akizungumza katika Taasisi ya Hudson...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Aomboleza Kifo cha Balozi Job Lusinde

Rais Magufuli ameonesha kuguswa na kifo cha aliyekuwa miongoni mwa Mawaziri 11 wa kwanza wa Tanganyika, Balozi Job Lusinde, na kuwapa pole wanafamilia wote, huku akieleza ni kwa namna gani ataukumbuka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri Mhe.kanyasu Azungumza Na Wanunuzi Wakubwa Wa Malighafi Kutoka...

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Constantine Kanyasu amekutana na kufanya mazungumzo  Wanunuzi Wakubwa wenye viwanda  wanaonunua  malighafi inayozalishwa kutoka katika Shamba la Miti Sao Hill...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi wa Mikoa Mitano ya Kichama ya ACT- Wazalendo watoa Tamko la Kumuomba...

Viongozi wa mikoa mitano ya Chama cha ACT Wazalendo, wamemwomba Bernard Membe, waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Tanzania, akubali ombi lao la kujiunga na chama hicho. Viongozi hao ni: Mwenyekiti wa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>