Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wataalam 16,000 Sekta Ya Kilimo Wafundishwa

Wizara ya Kilimo imesema mafanikio makubwa yamepatikana nchini katika kuzalisha wataalam wa Kilimo kupitia vyuo vyake na kufanya sekta ya Kilimo kuchangia asilimia 28.2 ya pato la Taifa.Kauli imetolewa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Ampa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William...

Rais Magufuli  amempa siku saba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, amkabidhi  hati ya shamba lenye ukubwa wa hekta 5,000, linalomilikiwa raia wa kigeni wilayani Kilosa, Mkoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF Yamsimamisha Uongozi Makamu Mwenyekiti Wa Chama Hicho Zanzibar

Baraza Kuu la Uongozi Taifa wa Chama Cha Wananchi (CUF) limemsimamisha Makamo Mwenyekiti wa Chama hicho Zanzibar, Abbas Juma Muhunzi kwa kukiuka maadili ya uongozi.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hakimu Kizimbani Singida Kwa Kuomba na Kupokea Rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Singida inatarajia kuwafikisha kwenye Mahakama ya Wilaya ya Manyoni, Bahati  Ilikunda Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Kilimatinde na Mzazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA Yatangaza Ratiba Kwa Wagombea wa Urais, Ubunge na Udiwani Kupitia...

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefungua zoezi la uchukuaji fomu za kugombea Urais wa Tanzania, ubunge na udiwani, katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020Ratiba hiyo imetolewa leo Jumatatu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msanii Vitali Maembe ajiunga ACT -Wazalendo na Kutangaza Nia ya Kugombea Ubunge

Mwanamuziki  Vitalis Maembe amejiunga na Chama cha ACT-Wazalendo na kukabidhiwa kadi na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu  Maembe  amejiunga na chama hicho leo Jumatatu tarehe 29 Juni 2020 na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Iran Yatoa Waranti Ya kukamatwa Rais wa Marekani Donald Trump

Iran imetoa waranti wa kukamatwa Rais wa Marekani Donald Trump na wanajeshi 35 wa Marekani, ikiwa ni pamoja na maafisa kutoka taifa hilo kwa kuhusika na kifo cha Jenerali Qassem Soleimani.Iran pia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Palamagamba Kabudi 'Autaka Ubunge' Kilosa

Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Prof. Palamagamba Kabudi amesema yupo tayari kuwatumikia wananchi wa jimbo la kilosa iwapo watamhitaji kwenda kufanya hivyo.Kabudi ameonyesha nia hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ufaransa Yaipatia Tanzania Sh, Bilioni 592.57 Kutekeleza Miradi Ya Umeme Na...

Na Farida Ramadhani na Ramadhani Kissimba, Dar es SalaamSerikali ya ufaransa kupitia shirika la Maendeleo ya nchi hiyo (AFD) imeipatia Tanzania Euro milioni 230 sawa na shilingi bilioni 592.57 zikiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne June 30

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simbachawene Amuagiza IGP Kuwakamata Wafanyabiashara Wanaohodhi Mafuta

Na Felix Mwagara, MOHA KibaigwaWAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amemuagiza Inspekta Jenerali wa Polisi kushirikiana na EWURA kuwakamata Wafanyabisha wa Kampuni mbalimbali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atoa Siku 30 Kwa Viongozi Wa Wizara Ya Ujenzi, Uchukuzi Na...

Na Mwandishi Wetu,MAELEZORAIS Dkt. John Magufuli ametoa siku 30 kwa Viongozi wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kumsimamia usiku na mchana mkandarasi wa kampuni ya Padiel JV kuhakikisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Halmashauri Zatakiwa Kutumia Ramani Zinazotolewa Na Wizara Ya Ardhi

Na Munir Shemweta, WANMM SONGWENaibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amezitaka halmashauri nchini kutumia ramani zilizoandaliwa na kutolewa na Wizara ya Ardhi kupitia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uhusiano Uliopo Kati ya Punyeto na Ukosefu au Upungufu wa Nguvu za Kiume

Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.   Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE: Rais Magufuli Akirudisha Fomu Ya Kugombea Urais Kupitia CCM

Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, arudisha fomu ya kugombea nafasi ya Urais kupitia chama chake cha (CCM) katika Ofisi ya CCM, White House Dodoma.==>>Tazama hapo chini

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Simbachawene Ashangaa Magari Ya Sekondari Ya Magereza Kusajiliwa Namba...

Na Mwandishi Wetu, Pwani.WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amefanya ziara ya kushtukiza katika Shule ya Sekondari Bwawani ambayo inamilikiwa na Jeshi la Magereza na kubaini madudu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CSR Project | TECNO Mobile Tanzania Kutembelea Kituo Cha Watoto Yatima

TECNO MOBILE TANZANIAP.O.BOX DAR ES SALAAM, TANZANIA25/06/2020PRESS RELEASE: Tecno Mobile Tanzania Kutembelea Kituo Cha Watoto YatimaMnamo tarehe 27 Juni mwaka huu Tecno Mobile Tanzania kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Virusi vipya vya mafua vyabainika kwa nguruwe nchini China

Wanasayansi wamebaini uwepo wa aina mpya ya virusi vya nguruwe vinavyosababisha mafua  nchini China ambavyo vinahofiwa kuwa huenda vikasababisha janga la dunia.Wataalamu hao wamesema virus hivyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jaji Ndika : Sheria Ya Wanawake Na Watoto Zitafsiriwe Ziendane Na Wakati

Na Tawani Salum – MahakamaJaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Dkt. Jaji Gerald Ndika amewataka Majaji na Mahakimu kutafsiri sheria zinaohusu masuala ya wanawake na watoto ili ziendane na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tumefanya Maboresho Kwenye App Yetu ya Mpekuzi Ili Kukuwezesha Kupata Habari...

Tumefanya Maboresho Kwenye App Yetu ya Mpekuzi Ili Kukuwezesha Kupata Habari zetu Haraka Usikubali kupitwa na taarifa muhimu zinazoendelea hapa nchini na Duniani  kwa Ujumla . Tumejipanga vizuri sana...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>