Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Yatajwa kuwa nchi ya kwanza kwa utulivu na amani katika Ukanda wa...

Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza kwa utulivu na amani katika Ukanda wa Afrika Mashariki, pia imeshika nafasi ya saba katika nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara..Kauli hiyo ameitoa leo tarehe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS : Rais Magufuli Atangaza kufungua shule zote zilizokuwa...

Rais Magufuli ametangaza kufungua shule zote  nchini na shughuli zingine za kijamii zilizokuwa zimesitishwa kisa ugonjwa wa CoronaRais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Jumanne June 16, 2020 wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tatizo la kuishiwa nguvu za kiume na maumbile kusinyaa limekuwa tatizo kwa...

Je umeachwa? Na mke /mume,mchumba na bado unampenda ? Kunamtu unamtaka unashindwa kumwambia? Wasiliana na mtalamu humuvuta mume, mke,mchumba na mtu yeyote  unaye mtaka katika mahusiano na kumfanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tumefanya Maboresho Kwenye App Yetu ya Mpekuzi Ili Kukuwezesha Kupata Habari...

Tumefanya maboresho katika App yetu ya MPEKUZI ili kuendana na changamoto ya sasa ya janga la Corona inayoikumba dunia NzimaUsikubali kupitwa na taarifa muhimu zinazoendelea hapa nchini na Duniani  kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watumishi Wawili Wa Tra Manyara Wapandishwa Kizimbani Kwa Makosa Ya Rushwa

Na John Walter-BabatiTaasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Manyara imewafikisha katika Mahakama ya wilaya ya Babati, Eva Joseph Mtandika na Jackline Leonard Manjira kujibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Korea Kaskazini yalipua ofisi ya pamoja na Korea Kusini....Jeshi Lawekwa...

Korea Kaskazini imesema inaliweka jeshi lake katika hali ya tahadhari ya kivita, ikiwa ni muda mfupi baada ya kulipua ofisi ya pamoja kati yake na Korea Kusini, ikiituhumu Korea Kusini kuruhusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gari ya TANAPA yagonga na kuua Watatu wilayani Babati.

Na John Walter-BabatiWatu watatu  wamekufa katika ajali ya barabarani iliyotokea katika kata ya Mamire  wilayani Babati mkoani Manyara.Akitoa taarifa leo June 16.2020, Kamanda wa polisi mkoa wa Manyara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Mongella Awataka Wafanyabiashara Kulipa Kodi Kwa Wakati

Na Veronica KazimotoMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amewataka wafanyabiashara kutumia fursa ya kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea mkoani hapa kulipa kodi kwa wakati ili kuiwezesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamko la Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) wakati wa...

Tamko la Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika Juni 16, 2020Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) inaungana na wadau wote wa haki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano June 17

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Elimu Ni Muhimu Kudhibiti Sumukuvu Nchini

Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya Kilimo wamekutana kupitia rasimu ya Mkakati wa Kitaifa wa Mawasiliano ya kudhibiti sumukuvu ili kuwezesha jitihada za  kukabililiana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking: Rais Magufuli Achukua Form Ya Kugombea Urais

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Rais John Magufuli, leo amechukua fomu za kuwania kuteuliwa na chama chake kushiriki katika kinyang’anyiro cha urais katika uchaguzi mkuu ujao.Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Elimu Prof Ndalichako, atangaza ratiba za mitihani na masomo

Kutokana na Rais Dk John Magufuli jana kutangaza kufungua Shule zote ifikapo Juni 29, leo Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako ametangaza ratiba ya masomo na mitihani kwa ajili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

China yaionya India baada ya New Delhi kudai wanajeshi wake 20 wameuliwa na...

Msemaji wa Jeshi la China ametoa onyo kali kwa India kuhusu vitendo vyake vya kichokozi katika eneo la mpaka wa nchi hizo mbili.Msemaji wa Jeshi la China, Kanali Zhang Shuili katika eneo la kivita la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kituo cha utafiti wa kilimo nchini (TARI) Chachagua Viwanja Vya Nanenane...

Na Stella Kalinga, Simiyu RSKituo cha utafiti wa kilimo nchini (TARI) kimechagua eneo la viwanja vya maonesho ya nane nane vilivyopo  kata ya  Nyakabindi wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu kuwa kituo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamko La Waziri Zungu - Siku Ya Kupambana Kuenea Kwa Jangwa Na Ukame

TAMKO LA MHE. MUSSA AZZAN ZUNGU (MB.), WAZIRI WA NCHI - OFISI YA MAKAMU WA RAIS, MUUNGANO NA MAZINGIRA KWA UMMA KUHUSU MAADHIMISHO YA KIMATAIFA YA SIKU YA KUPAMBANA NA KUENEA KWA HALI YA JANGWA NA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tatizo la kuishiwa nguvu za kiume na maumbile kusinyaa limekuwa tatizo kwa...

Je umeachwa? Na mke /mume,mchumba na bado unampenda ? Kunamtu unamtaka unashindwa kumwambia? Wasiliana na mtalamu humuvuta mume, mke,mchumba na mtu yeyote  unaye mtaka katika mahusiano na kumfanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jumla ya wanachama 11 wa CHADEMA Wajitokeza kugombea Urais katika uchaguzi...

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), leo Juni 17, 2020, kimetangaza majina ya Wanachama wake 11 walioomba kuteuliwa na Chama hicho kugombea nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu mwezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Ummy Aitaka Bodi Mpya Ya Tmda Kuwezesha Ukuaji Wa Uchumi Na Ushamiri...

Na WAMJW-DODOMABodi mpya ya ushauri ya Wizara ya Afya kwa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imetakiwa kuisimamia mamlaka hiyo na kuacha kufanya kazi ya kipolisi kwa wenye viwanda vidogo na vya kati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Atia Sani Kitabu Cha Maombolezo Kifo Cha Nkurunziza

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Juni 17, 2020 ametia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza na kutoa pole kwa wananchi wa nchi hiyo kwa niaba ya Rais Dkt....

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>