Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu: Tutaendeleakuchukua Hatua Kwa Watakaokatisha Masomo Kwa Watoto...

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kuchukua hatua kali kwa watu wote watakaothibitika kufanya vitendo vya kuwakatisha watoto wa kike ndoto za masomo ikiwemo kuwafunga jela miaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Korea Kaskazini Yatishia Kubomoa Ofisi ya Uhusiano Kati Yake na Korea Kusini

Korea Kusini imefanya mkutano wa usalama wa dharura leo na kuihimiza Korea Kaskazini kuzingatia makubaliano ya maridhiano, saa kadhaa baada ya Korea Kaskazini kutishia kubomoa ofisi ya uhusiano na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Ummy Azitaka Hospitali Zote Nchini Kuacha Kuwadai Damu Wagonjwa Kabla...

NA WAJMW-DODOMAWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu ameziagiza Hospitali zote nchini za Serikali na binafsi, Zahanati na Vituo vya Afya kuacha kuwadai damu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wachezaji Wa Mashindano Ya Diplomatic Golf' Wamuaga Mkurugenzi Mkaazi Wa WFP

Wachezaji wa Mashindano ya Diplomatic Golf mchezo ambao  unaoratibiwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, wamemuaga mchezaji mwenzao ambae pia ni Mkurugenzi mkaazi wa Shirika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uhusiano Kati Ya Punyeto Na Kusinyaa/kunywea Kwa Maumbile Ya Kiume

Zipo sababu kuu 2 kwanini wanaume walio jihusisha na punyeto kwa muda mrefu maumbile yao husinyaa na  kunywea kiasi cha  kuyafanya yaonekane    kama maumbile  ya mtoto.SABABU YA KWANZA:Tendo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Makonda Awataka UVCCM Kusimama Kidete Kukipigania Chama Cha Mapinduzi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataka Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kukilinda chama hicho na kuyaeleza maendeleo yaliyofanywa na Rais Dk. John Maguguli katika kipindi cha miaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yazielekeza Taasisi Za Umma Kuadhimisha Wiki Ya Utumishi Wa Umma...

Na: James Mwanamyoto – DodomaTaasisi za umma nchini zimeelekezwa kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma mwaka 2020 kwa kudumisha ushirikiano na wananchi na wadau, ili kuweka mazingira wezeshi ya utoaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tumefanya Maboresho Kwenye App Yetu ya Mpekuzi Ili Kukuwezesha Kupata Habari...

Tumefanya maboresho katika App yetu ya MPEKUZI ili kuendana na changamoto ya sasa ya janga la Corona inayoikumba dunia NzimaUsikubali kupitwa na taarifa muhimu zinazoendelea hapa nchini na Duniani  kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mufti Mkuu atangaza kufunguliwa madrasa zilizokuwa zimefungwa kisa Corona

Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuberi, ametangaza kufunguliwa rasmi kuanzia jana kwa madrasa, zilizofungwa kutokana na mlipuko wa virusi vya corona (Covid 19).Sheikh Zuberi, alitoa kauli hiyo jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tatizo la kuishiwa nguvu za kiume na maumbile kusinyaa limekuwa tatizo kwa...

Je umeachwa? Na mke /mume,mchumba na bado unampenda ? Kunamtu unamtaka unashindwa kumwambia? Wasiliana na mtalamu humuvuta mume, mke,mchumba na mtu yeyote  unaye mtaka katika mahusiano na kumfanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baba aliyetaka kuozesha mwanafunzi wa miaka 12 atiwa mbaroni

Jeshi la Polisi mkoani Arusha, limefanikiwa kuzima jaribio la mwanafunzi wa shule ya msingi mwenye umri wa miaka 12,aliyetaka kuozeshwa na wazazi wake.Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, Jonathan...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIDA Yaendelea Na Shughuli Za Usajili Na Utambuzi Wa Watu Nchini Kote

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge ‘Bwege’ Atangaza Kuhamia ACT Wazalendo

Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kusini, Selemani Bungara maarufu kwa jina la Bwege ametangaza kukihama Chama Cha Wananchi Cuf na kuhamia Chama cha ACT Wazalendo mara baada ya bunge kuvunjwa hapo kesho Jumanne...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Ali Karume Ajitosa Kugombea Urais Zanzibar

Balozi Ali Karume amechukua fomu kuwania kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea wa Urais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu ujao.Akizungumza na waandishi wa habari mjini Unguja, Balozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uhusiano Kati Ya Punyeto Na Kusinyaa/kunywea Kwa Maumbile Ya Kiume

Zipo sababu kuu 2 kwanini wanaume walio jihusisha na punyeto kwa muda mrefu maumbile yao husinyaa na  kunywea kiasi cha  kuyafanya yaonekane    kama maumbile  ya mtoto.SABABU YA KWANZA:Tendo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bajeti ya serikali kwa mwaka 2020/2021 yapita kwa Kura Nyingi

Wabunge wamepitisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha wa 2020/2021 ya jumla ya shilingi Trilioni 34.88.Bajeti hiyo imepitishwa kwa kura 304 za ndio kati ya kura 371 zilizopigwa na wabunge...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waliokuwa viongozi wa Chama Kikuu cha Usirika Rukwa Matatani tena

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Rukwa Hamza Mwenda amekabidhiwa ripoti ya Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) nchini na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watumishi Wawili Wa Tra Manyara Wapandishwa Kizimbani Kwa Makosa Ya Rushwa

Na John Walter-BabatiTaasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Manyara imewafikisha katika Mahakama ya wilaya ya Babati, Eva Joseph Mtandika na Jackline Leonard Manjira kujibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge Watatu Wa Viti Maalum CHADEMA Wajiunga CCM

Wabunge watatu wa Viti Maalumu Kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo -CHADEMA  wametangaza kuachana na chama hicho na kuomba kujiunga na CCMWabunge hao wametangaza uamuzi huo leo Jumatatu June 15,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchumi wa Tanzania Haujawahi Kushuka kwa Miaka 10 Iliyopita – Dkt. Abbasi

Na Jacquiline Mrisho-MAELEZOSerikali imesema kuwa uchumi wa Tanzania haujawahi kushuka kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita ikiwa ni malengo ya nchi iliyojiwekea kwa muda wa kati na mrefu kwamba uchumi...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>