Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rwanda Yatangaza Maombolezo Ya Kitaifa Kufatia Kifo cha Rais wa Burundi...

Rais wa Rwanda Paul Kagame ametangaza maombolezo ya Kitaifa Rwanda kufuatia kifo cha Nkurunziza na ameagiza Bendera ya Rwanda na ya Jumuiya ya Afrika Mashariki zote zipeperushwe nusu mlingoti nchini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Riwaya Kali ya Kusisimua....SIN- Sehemu Ya 16

Mwandishi- EDDAZARIA G.MSULWAAge-18+Simu-0657072588(whatsapp) au 0768516188ILIPOISHIA“Kamera na sound record katika chumba hicho zote zime zimwa kwa hiyo utakacho kizungumza hapo kitaishia ndani humo....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali ya gari aina ya daladala kugonga Treni na kusababisha kifo na majeruhi.

Mnamo Tarehe 12.6.2020 majira ya saa 17.20hrs huko maeneo ya Mwakanga kwenye makutano ya njia ya reli na barabara itokayo Chanika kwenda Pugu wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam, treni ya abiria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nafasi ya teknolojia ya kidijitali katika kuendeleza uchumi wa Tanzania

Na Martin Nyeka UDBS Katika miaka mitano iliyopita, idadi ya watumiaji wa simu katika eneo la Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara imeongezeka mara dufu.  Kwa mujibu wa GSMA (Shirika la Kimataifa la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Freeman Mbowe Aruhusiwa Kutoka Hospitali

Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni nchini Tanzania, Freeman Mbowe ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Aga Khani jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa kwa matibabu. Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili June 14

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waliokuwa viongozi wa Chama Kikuu cha Usirika Rukwa Matatani tena

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Rukwa Hamza Mwenda amekabidhiwa ripoti ya Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) nchini na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mgodi Wa Irasaniro Wauwa Wachimbaji Wadogo

Na Issa Mtuwa – “Wizara ya Madini” MaraVifo vya Wachimbaji wadogo Wawili wa madini na majeruhi Nane vilivyotokea katika kijiji cha Magunga Wilaya ya Butiama, vimemfadhahisha Waziri wa Madini Doto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chadema wajibu mapigo kwa Ole Sendeka..... “Dhamira yetusio madiwani pekee...

Na Amiri Kilagalila,NjombeChama cha Demokrasia na maendeleo Chadema mkoa wa Njombe kimesema kinaamini ushindi mkubwa katika maeneo mengi ya mkoa wa Njombe kwa kuwa wamejipanga kikamilifu licha ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yatishia kukifuta chama cha wafugaji nchini

Serikali imetishia kukifuta chama cha wafugaji nchini kutokana na kukaidi maelekezo yaliyotolewa na wizara ya mambo ya ndani kuhusu maandalizi ya kuelekea uchaguzi wa viongozi wa chama hicho unaotaraji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel Apiga Marufuku Ramli Chonganishi

Na WAMJW- DOMNaibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amepiga marufuku tabia za Waganga wa tiba asili kupiga ramli chonganishi kwa lengo la kuwasaidia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri Mabula Ataka Upimaji Maeneo Ya Migodi Kuepuka Migogoro

Na Munir Shemwta, WANMM GEITANaibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amezitaka halmashauri nchini kupitia idara zake za ardhi kuhakikisha zinapima maeneo yote yenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchungaji Msigwa Atangaza Rasmi Nia ta Kugombea Urais 2020

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.Mbunge wa Iringa Mjini ,Mchungaji Peter Msigwa ametangaza Rasmi kuwania Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba Mwaka huu.Akizungumza na Waandishi wa Habari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tatizo la kuishiwa nguvu za kiume na maumbile kusinyaa limekuwa tatizo kwa...

Je umeachwa? Na mke /mume,mchumba na bado unampenda ? Kunamtu unamtaka unashindwa kumwambia? Wasiliana na mtalamu humuvuta mume, mke,mchumba na mtu yeyote  unaye mtaka katika mahusiano na kumfanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikwete Aomboleza Kifo Cha Rais Wa Burundi Pierre Nkurunzinza

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya  Kikwete leo Juni 14, 2020 ameomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi Marehemu Pierre Nkurunzinza kwa kusaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Burundi jana jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watanzania 57 Warejea Kutoka Afrika Kusini Na 38 Kutoka Misri

Watanzania 57 waliokuwa wamekwama nchini Afrika Kusini kutokana na janga la virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID 19 baada ya nchi hiyo kufunga mipaka yake hatimae wamerejea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Dkt. Ndumbaro Asaini Kitabu Cha Maombolezo Cha...

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damas Ndumbaro (Mb) amesaini kitabu cha maombolezo katika ubalozi wa Burundi nchini kufuatia kifo cha Rais wa Taifa hilo Pierre...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu June 15

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tumefanya Maboresho Kwenye App Yetu ya Mpekuzi Ili Kukuwezesha Kupata Habari...

Tumefanya maboresho katika App yetu ya MPEKUZI ili kuendana na changamoto ya sasa ya janga la Corona inayoikumba dunia NzimaUsikubali kupitwa na taarifa muhimu zinazoendelea hapa nchini na Duniani  kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lazaro Nyalandu Ajitosa Kugombea Urais Kuoitia CHADEMA

Lazaro Nyalandu, ametangaza kutia nia ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) huku akibainisha vipaumbele 25 atakavyovifanya ndani ya siku 100 endapo...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>