Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili May 31

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yataka Mikopo Ya Tadb Kuwa Chachu Kwa Wavuvi Kuanzisha Viwanda Vidogo.

Na. Edward KondelaSerikali imesema inataka kuona uanzishwaji wa viwanda vidogo vidogo vya wafugaji na wavuvi kupitia mikopo inayotolewa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) ili kuyaongezea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yatahadharisha ‘Tegesha’ Nyamongo

Na Munir Shemweta, WANMM TARIMESerikali imewatahadharisha wananchi wa kijiji cha Komarera kata ya Nayamongo Tarime Vijijini mkoani Mara kuacha tabia ya kufanya maendelezo maarufu kama Tegesha katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashauri 4,711 Yasikilizwa Kwa Mahakama Mtandao Kuepuka Corona

Na Magreth Kinabo –Mahakama      Mahakama ya Tanzania imefanikiwa kuendesha mashauri 4,711 kwa njia ya Mahakama Mtandao maarufu kama ‘Video Conference’ ikiwa ni hatua mojawapo  za kujikinga na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Korea Kusini yafunga shule tena baada ya maambukizi kuongezeka zaidi

Zaidi ya shule 200 nichini Korea Kusini zimelazimika kufunga tena shule siku chache baada ya kufunguliwa, kutokana na ongezeko la maambukizi ya virusi vya corona.Mapema Jumatano, melfu ya wanafunzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Katibu Mkuu Wizara Ya Elimu Akagua Maandalizi Ya Mapokezi Ya Wanafunzi...

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Dr. Evamarie Semakafu, ametembelea Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi Kuu Morogoro, kukagua maandalizi ya kuwapokea wanafunzi tarehe 01 Juni 2020,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mawasiliano ya kidijitali yanavyosaidia kutuleta pamoja

Mawasiliano ya kidijitali yanavyosaidia kutuleta pamoja Ugonjwa wa korona (COVID-19) umebadili maisha ya watu wengi kwa namna ambazo hatukutegemea.  Moja ya badiliko makubwa ni lile la kupunguza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP Sirro Awataka Wanaoachiwa Kwa Msamaha Wa Rais Kufuata Sheria Za Nchi

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amewataka baadhi ya wananchi ambao ni washtakiwa au wafungwa wanaopata msamaha wa Rais kutoka gerezani, kuacha kujiingiza katika matukio ya uhalifu jambo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utaratibu wa Uendeshaji ligi za soka na michezo mingine hapa nchini

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Spika mpya wa Bunge la Iran atoa wito wa kulipa kisasi kwa Marekani

Spika mpya wa Bunge la Iran Mohammad Ghalibaf amesema leo majadaliano yoyote na Marekani hayatokuwa na manufaa na badala yake mkakati wa Iran unapaswa kuwa wa kulipa kisasi na siyo mazungumzo....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je Wewe Ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii au Mwanamziki.... Tunazo Pete...

Je Wewe ni MWANASIASA, MFANYABIASHARA,MSANII  wa Maigizo, MWANAMZIKI, ama MWANAFUNZI tunazo dawa na PETE za BAHATI zenye uwezo mkubwa wa Kuyabadilisha MAISHA yako nakukupatia MAFANIKIO MAKUBWA ndani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rwanda yaripoti kifo cha kwanza cha ugonjwa wa Corona

Wizara ya Afya ya Rwanda imetangaza kifo cha kwanza kilichosababishwa na ugonjwa wa COVID-19 (corona) katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.Katika taarifa ya leo Jumapili, wizara hiyo imesema aliyeaga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘‘Tuwekeze Kwenye Viwanda Vinavyotumia Malighafi Za Ndani’’- Katibu Mkuu...

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe amewataka Watanzania kuwekeza katika sekta ya viwanda vinavyotumia malighafi za ndani.Prof. Shemdoe aliyasema hayo Mkoani Simiyu alipokuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchimbaji Holela Wa Madini Unachangia Kuharibu Uoto Wa Asilina Misitu...

SALVATORY NTANDUImebainishwa kuwa shughuli za uchimbaji wa Madini ya Dhahabu katika Machimbo mbalimbalI ya dhahabu  Wilayani Mbogwe mkoani Geita unachangia kwa kiasi kikubwa katika uharibifu wa Misitu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Riwaya Kali ya Kusisimua....SIN- Sehemu Ya Nane (08)

Mwandishi- EDDAZARIA G.MSULWAAge-18+Simu-0657072588(whatsapp) au 0768516188ILIPOISHIAAkaning’inizwa hewani huku mikono yake ikiwa imechanuliwa mithili ya Yesu alivyo sulubiwa msalabani. Wapelelezi hao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Awamu Ya Pili Ya Watanzania Waliokwama India Kutokana Na Ugonjwa Wa Corona...

Serikali yarejesha kwa awamu ya pili Watanzania 192 waliokuwa wamekwama nchini India kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19  Ubalozi wa Tanzania nchini India kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ole Nasha Avitaka Vyuo Kutoa Maelekezo Ya Kujikinga Na Corona Kwa Wanafunzi...

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia William Ole Nasha amevitaka Vyuo vya Elimu ya Juu na vya Kati nchini vinavyoanza masomo Juni 1, 2020 kutoa maelekezo kwa wanafunzi ya jinsi ya Kujikinga na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Kuanza Ziara Mkoani Tanga Kesho

WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwasili jijini Tanga kesho June Mosi Mwaka huu kwa ziara maalum ya kutembelea na kukagua utekelezaji wa agizo lake kwa bodi ya Mkonge alilolitoa mapema mwezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kigwangalla: Tanzania Ipo Tayari Kupokea Watalii

Na WAMJW- KilimanjaroWaziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ameweka wazi kuwa, Tanzania ipo tayari kupokea wageni kutoka sehemu yoyote Dunia kwa ajili ya utalii, kufuatia kuimarisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wagonjwa wa Corona Nchini Kenya Wafika 1962

Idadi ya maambukizi ya virusi vya Corona nchini kenya imefikia watu 1962 hii ni baada ya watu 74 kuthibitishwa kuwa na virusi hivyo katika muda wa saa 24 zilizopita.Kaunti za Nairobi na Mombasa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>