Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yakiri ‘udhaifu’ vitambulisho vya wajasiriamali....Yaahidi Kuandaa...

Serikali imekiri ‘udhaifu’ katika utekelezaji wa vitambulisho vya wajasiriamali na  imesema itatoa waraka utakaoelekeza ni nani anatakiwa kutozwa kodi na nani anatakiwa kupata vitambulisho.  Hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Unaotokana Na Kisukari (Diabetic Nephropathy)

Ugonjwa wa kisukari (Diabetes Mellitus) huambatana na ongezeko la sukari(glucose) katika damu kwa kiwango kinachozidi kawaida. Homoni aina ya insulin ambayo hutolewa na kongosho ama hushindwa kufanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ufahamu Ugonjwa Wa Ngiri Na Tiba Yake

Tatizo la Ngiri Linavyosababisha Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Kusinyaa.  Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikiria au...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli: Uzeni Gesi Msiuze Mitungi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara na wauzaji wa gesi nchini  kuuza bidhaa ya gesi tu na sio mitungi. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali yaua mmoja Njombe, 22 wajeruhiwa

Na Amiri kilagalila-NjombeGari la Abiria (Ibbu Trans) lenye namba za usajili T 225 DGF, Mitsubish Rosa linalofanya safari zake kutoka Njombe kuelekea wilayani Ludewa limepata ajali katika eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wadaiwa sugu SIDO mkoani Njombe mali zao kutaifishwa

Na Amiri kilagalila-Njombe Shirika la kuhudumia viwanda vidogo mkoani Njombe SIDO limesema lipo hatarini kupoteza zaidi ya mil 100 ambazo zilikopeshwa kwa wajasiriamali, wabunifu na wamiliki wa viwanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge Ashauri Tozo Ya Pombe ,sigara Ipande Maradufu

Na.Faustine  Gimu Galafoni, Ikiwa leo Juni 25,2019 Bunge la Tanzania likiwa lina piga kura  ya ndio au hapana ya  kuipitisha au kutoipitisha bajeti kuu ya serikali,wabunge wamekuwa wakitoa michango na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndugai ataka tamko la serikali kuhusu Watanzania Kupewa Masaa 24 Waondoke Kenya

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ameitaka serikali kutoa tamko kufuatia kauli yenye kuashiria ubaguzi aliyoitoa mmoja wa wabunge wa Kenya.Amesema hayo kufuatia kusambaa kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Majaliwa Atoa Kauli Ya Serikali Bungeni Kuhusu Watanzania...

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Kenya imesema kauli iliyotolewa na Mbunge wa jimbo la Starehe nchini humo, Charles Njagua Kanyi maarufu Jaguar si kauli ya Serikali, hivyo amewataka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano June 26

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi La Polisi Dodoma Lakamata Wahalifu 10 Wanaojihusisha Na Uhalifu Wa Simu...

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma. Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limefanikiwa kuwakamata watu kumi (10) wanaojihusisha  na usajili line za simu kwa kutumia vitambulisho vya watu wengine na kuzalisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli amtumbua Kamishna wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA).

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Mussa C. Juma kuwa Kamishna wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA).Uteuzi wa Dkt. Mussa C. Juma umeanza June 25,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dirisha la Maombi ya mikopo elimu ya juu kufunguliwa Julai Mosi

Tunapenda kuwafahamisha waombaji mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2019/2020 kuwa dirisha la kuomba mkopo kwa njia ya mtandao litafunguliwa rasmi Jumatatu, Julai 1, 2019 na kufungwa Alhamisi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Platnumz azindua Wasafi Festival 2019

Uongozi wa WCB pamoja na Wasafi Media kwa pamoja wamezindua rasmi Tamasha la Wasafi Festival 2019 ikiwa ni msimu mpya wa Mapinduzi ya Burudani nchini.Msanii Diamond Platnumz ndiye ametangaza ujio wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge laipitisha Bajeti ya Serikali ya mwaka 2019/2020

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha kwa kishindo Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2019/2020.Bajeti hiyo ilipitishwa mjini Dodoma  jana baada wabunge kupiga kura ya wazi ya kuitwa mbunge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli: Mradi wa majengo ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii...

Rais  Magufuli amesema mradi wa majengo wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) uliopo wilayani Kigamboni mkoani Dar es Salaam ni mradi bomu na wa kifi sadi.Ameyasema hayo  jana wakati akizindua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndugai Akerwa na Kiongozi wa Serikali Aliyesema Mbele ya Rais Kuwa Wabunge...

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema kiongozi mmoja wa Serikali aliyezungumza maneno yasiyofaa kuhusu Bunge la Tanzania na wabunge na kumdanganya hadharani Rais John Magufuli kuwa wawakilishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi 13,234 Wapatiwa Elimu Ya Madhara Ya Mimba Za Utotoni

Na.Faustine Gimu Galafoni,DodomaJumla ya wananchi 13,234  wamefikiwa na elimu ya madhara ya mimba za utotoni hapa nchini .Hayo yamesemwa leo bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Unaotokana Na Kisukari (Diabetic Nephropathy)

Ugonjwa wa kisukari (Diabetes Mellitus) huambatana na ongezeko la sukari(glucose) katika damu kwa kiwango kinachozidi kawaida. Homoni aina ya insulin ambayo hutolewa na kongosho ama hushindwa kufanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Kutoa tamko kuhusu ajira za madereva nchini

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Wenye Walemavu, Anthony Mavunde amesema kuanzia Julai Mosi, 2019 Serikali ya Tanzania itatoa tamko kuhusu ajira za madereva...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>