Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ufahamu Ugonjwa Wa Ngiri Na Tiba Yake

Tatizo la Ngiri Linavyosababisha Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Kusinyaa.  Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikiria au...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Abiria saba wanusurika kifo kwa ajali ya basi kahama

NA SALVATORY NTANDUAbiria saba Wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamenusurika kifo baada lori la mizigo aina ya Fuso lenye T 322 ACC walilokuwa wakisafiria kugongana na basi  aina ya Scania lenye namba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge Jaguar wa Kenya Aliyetishia Kuwatimua Watanzania Ndani ya Masaa 24...

Maafisa wa polisi nchini Kenya wamemkamata mbunge wa jimbo la Starehe anayedaiwa kutoa kauli za chuki dhidi ya wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda waliopo jijini Nairobi.Vyombo vya habari vya nchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rosa Ree Atoa Wimbo Mpya Akimshirikisha Ruby -Champion

Rosa Ree Atoa Wimbo Mpya Akimshirikisha Ruby -Champion

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi June 27

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mhagama Apokea Msaada Wa Vifaa Saidizi Na Cherehani Kutoka Ubalozi Wa...

NA; Mwandishi WetuWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama amepokea cherehani na vifaa siadizi kwa ajili ya Watu wenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wazee Shinyanga waomba kupewa kipaumbele katika huduma za afya

SALVATORY NTANDUSerikali Mkoani Shinyanga imewataka wakurugenzi wa Halmashauri sita za mkoa huo kuhakikisha wanaweka Madirisha maalumu ya kutolea huduma za afya kwa wazee katika Zahabati, Vituo vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madini ya Mamilioni ya Pesa Yakamatwa Yakitoroshwa Kuelekea Kenya

Jeshi la Polisi mkoani Arusha limekamata madini aina mbalimbali ambayo  yalikuwa yakitoroshwa kuelekea nchi jirani ya Kenya.Madini hayo zaidi ya kilo 36 yamekamatwa jana Jumatano Juni 26, 2019 na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Afikishwa Mahakamani Kwa...

Askari  wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), MT 77341 Johanes Kubambi, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Daktari Feki Akamatwa Nyumbani Akitibu Watu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mtu mmoja Abdallah Bushiri Shija (42), mkazi wa Igodima Jijini Mbeya  kwa tuhuma za kufanya kazi za utabibu bila kuwa na taaluma ya utabibu hususani kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe Aipongeza Serikali...Chama Chake Chamkana, Chasema Siyo Yeye

Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa ACT Wazalendo, Mhe. Zitto Kabwe amesema kuwa licha ya yeye kuwa mpinzani lakini ataendelea kuipongeza Serikali ya Rais Magufuli.Zitto kupitia ukurasa wake wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baadhi ya Wabunge Kenya wamuunga mkono Jaguar....Wataka aachiwe huru

Matamshi ya mbunge wa Starehe nchini Kenya Charles 'Jaguar' Kanyi kuhusu kuwatishia raia wa kigeni wakiwemo watanzania  wanaofanya kazi nchini Kenya yaliwasilishwa jana  mbele ya kikao cha bunge ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watumishi MWAUWASA Wapewa Somo

Watumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Mwanza (MWAUWASA) wametakiwa kushirikiana katika utekelezaji wa majukumu yao na kufanya kazi kwa uadilifu.Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fahamu Chanzo Halisi cha Kupungukiwa Nguvu za Kiume

Unafahamu kwa kina tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume na  maumbile ya kiume kusinyaa?Wanaume wengi kwa sasa wanasumbuliwa na tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile  kuwa mafupi na wengi wao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge Jaguar wa Kenya aburuzwa mahakamani

Mbunge wa Starehe, nchini Kenya Charles Njagua maarufu Jaguar na amefikishwa mahakamani leo. Hata hivyo, ametupwa ndani hadi kesho mahakama itakapoamua iwapo ataachiliwa kwa dhamana.Afisi ya Mkurugenzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majambazi yatelekeza Silaha aina ya Gobole Kahama baada ya kubaini...

NA SALVATORY NTANDUJeshi la Polisi mkoani Shinyanga linaendelea kuwatafuta Majambazi wawili waliotelekeza silaha aina ya Gobole iliyotengenezwa kienyeji,panga mmoja  pamoja na pikipiki aina ya SANLG...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nape Nnauye Akerwa Jina Lake Kutajwa Kwenye Tweets za Zitto...

Mbunge wa Mtama (CCM) Nape Nnauye amezungumzia kuhusiana na kutajwa katika ujumbe uliochapishwa kwenye akaunti ya kijamii ya Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) Zitto Kabwe.Kupitia ukurasa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bashe Ageuka Mbogo Baada ya Kutajwa kwenye Tweets za Zitto Kabwe....."

Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe ameonesha kutofurahishwa, baada ya yeye, Januari Makamba pamoja na Mbunge wa Mtama Nape Nnauye, kutajwa kuwa miongoni mwa watu ambao washajiunga na chama cha ACT -...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakulima mkoani Mbeya walalamikia mifugo kuingia mashambani

Na Amiri kilagalila Licha ya serikali  kukemea vitendo vya mapigano baina ya wafugaji na wakulima nchini, wakazi wa kijiji cha Ipwani wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya wameiomba serikali kuwakamata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maamuzi Ya Kikao Cha Halmashauri Kuu Ya Taifa NEC Ya CCM Kilichoongozwa Na...

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuujulisha umma wa wana CCM na watanzania kwamba Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imeketi leo Jijini Dar es Salaam chini ya Ndg. John Pombe Joseph Magufuli Mwenyekiti...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>