Boomplay, Universal Music Group Watangaza Ushirikiano Katika Usambazaji Muziki
Universal Music Group inakuwa kampuni ya kwanza kuingia mkataba na jukwaa linaloongoza kwa huduma ya kusikiliza na kupakua muziki barani Afrika.Boomplay, huduma ya muziki inayoongoza upande wa...
View ArticleBunge Kuanza Kesho Jumanne
Mkutano wa 13 wa Bunge utaanza kesho, huku miswada ya sheria mitano ikitarajiwa kusomwa kwa mara ya kwanza ikiwemo wa sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 2018.Spika wa Bunge, Job Ndugai leo amesema...
View ArticleDC Muro Awatia Mbaroni Watuhumiwa Watatu Walioshiriki Kumtoa Mimba Mwanafunzi
Na Imma Msumba Arumeru,Mkuu wa Wilaya ya Arumeru kwa kushirikiana na Jeshi la polisi Wilaya ya Arumeru limewakamata watuhumiwa wa Tatu ambao wameshiriki kumtoa mimba mwanafunzi wa kidato cha nne kwa...
View ArticleRiwaya Kali: POWER - Sehemu ya 26
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588ILIPOISHIA “Umesahau masharti yetu. Endapo utamueleza mtu yoyote kuhusiana na mimi basi nitakwenda kumuua huyo mtu pasipo huruma ya aina yoyote”Ethan...
View ArticleAISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 138 na 139 )
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588ILIPOISHIA “Baba umefwata nini chumbani kwangu!!”Niliisikia sauti ya Yemi Okocha akizungumza kwa mshangao, nikahisi labda yupo usingizini.“Huyu ndio aliye...
View ArticleVideo Mpya: Barakah The Prince - Mawazo
Msanii Barakah The Prince anakukaribusha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao Mawazo. Itazame hapa.
View ArticleWimbo Mpya wa Bright X Nini – Kuna Nini
Wimbo Mpya wa Bright X Nini – Kuna Nini. Utazame hapa
View ArticleMsemaji Mkuu wa Serikali: Serikali Imefanya Mambo Makubwa Sana Ndani ya Miaka...
Na. Immaculate Makilika – MAELEZOSerikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, imefanya jitihada kadhaa ikiwa ni sambamba na kutekeleza...
View ArticleHabari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe
(1).Fikiria ulianzia wapi? Je,ulifanikiwa au bado?(2).Upo tayari kupona kwa haraka?TIBA ZITOLEWAZO NI,NGORO 4 POWER; Huongeza nguvu za kiume yenye mfumo wa unga na vidonge dozi siku(6).MELAMELA;...
View ArticleLIVE | Mkutano wa 13 wa BUNGE Jijini Dodoma
LIVE | Mkutano wa 13 wa BUNGE Jijini Dodoma. Tazama hapo chini
View ArticleAbdul Nondo: Nitaendelea Kupambana
Baada ya kuachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Iringa, aliyekuwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo, ameeleza magumu aliyopitia wakati akitetea wanafunzi huku...
View ArticleJipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene,...
Bidhaa za NATURAL BEAUTY PROD ni bidhaa zilizothibitishwa kiafya na kupewa kibali original cha kuuzwa hadharani.Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina chemical wala madhara yoyote kwa...
View ArticleWabunge wa CHADEMA, CUF Wasusia Viapo vya Wabunge wapya wa CCM
Wabunge wa Chadema na wa CUF upande wa katibu mkuu Maalim Seif wamesusia kushuhudia kiapo cha wabunge wanne wa CCM wakati wabunge hao walipokuwa wanaapishwa.Mkutano wa Bunge umeanza leo asubuhi Jumanne...
View ArticleAlikiba Ajibu 'Kiaina' Mwaliko wa Diamond Wasafi Festival
Jana Novemba 5, Diamond Platnumz alitangaza kuwa anatamani sana kumuona msanii mwenzake pia akiwa kama kaka yake kwenye muziki Alikiba awepo kwenye tamasha lake la Wasafi Festival .Lakini baada ya...
View ArticleTFF Yatangaza Tarehe Ya Uchaguzi Yanga
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imetangaza rasmi kuanza kwa mchakato wa uchaguzi wa klabu ya Yanga unaotarajia kufanyika Januari 13, mwakani.Kumekuwa na mvutano tangu klabu...
View ArticleAjali Mbaya ya Gari Yaua Watu 6 Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, BagamoyoWatu sita akiwemo mtoto mchanga wa jinsia ya kike wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa katika ajali iliyotokea kijiji cha Msata, barabara kuu ya Segera/Chalinze mkoani...
View ArticleMizizi 29 Power Ni Dawa Ya Nguvu Za Kiume Ambayo Imechanganywa Na Mizizi 29
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wazee hata na vijana kupungukiwa au kutokuwa kabisa na nguvu za kiume nanimekuwa nikipigiwa simu na wanawake wakilalamika ndoa zao zipo mashakani maana...
View ArticleMbunge wa CUF Ataka Mwenge usikimbizwe Kwa Madai Kwamba Umepoteza Mvuto
Leo Jumanne Novemba 6, 2018, mbunge wa Temeke (CUF), Abdallah Mtolea ameuliza kama Serikali haioni kukimbiza Mwenge wa Uhuru kwa sasa hakuna umuhimu tena kwani umekuwa ukisababisha mambo mengi ikiwemo...
View Article