Pichani
ndio matundu ya risasi zilivyorindima kwenye kioo cha dereva (risasi
tatu) ,mara
majambazi hayo kufanikiwa kumjeruhi dereva sehemu ya bega na kufanikiwa
kunyakua begi linalosadikiwa kuwa,lilikuwa na kiasi cha fedha shilingi
milioni 40 na kutokomea nazo.
Pichani
kulia ni Askari Usalama barabarani akichukuliwa maelezo yake kutokana
kushuhudia tukio la ujambazi
↧