Mtangazaji wa kituo kimoja cha Televisheni nchini Uholanzi aliacha
watazamaji wamepigwa na butwaa baada ya kunyonya matiti na kunywa maziwa
moja kwa moja kutoka mama mmoja wakati wa kipindi chake.
Mtangazaji
huyo, Paul de Leeuw, alikuwa amealika kundi la wanawake kutoka asasi
moja ambayo inaruhusu kubadilishana maziwa ya mama kati ya akinamama
kwenye kipindi chake cha burudani,
↧