Msanii Tundaman amejikuta
akiambulia aibu ya mwaka baada ya kujitosa nusu uchi mtaani
akiwakwepa askari polisi ambao walivamia kwake leo asubuhi kwa
lengo la kumkamata....
Chanzo cha Tunda man kusakwa na polisi ni deni la sh. laki
nane ambazo alikopa mwanzoni mwa mwaka huu kwa mwanadada mmoja (
jina kapuni)....
Taarifa zinadai kwamba, baada
↧