Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

LIVE: HII NI VIDEO YA MAPIGANO MAKALI KATI YA WAASI WA M23 NA JESHI LA SERIKALI....MAPIGANO YALIANZA JUMATATU

$
0
0
Waasi wa M23 wamepambana na wanajeshi wa serikali mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo-DRC siku moja kabla ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon kuwasili katika eneo hilo. Mapigano ya Jumatano nje ya mji wa Goma yanakuwa siku ya tatu mfululizo ya mapambano kati ya jeshi la Congo na kundi la uasi la M23. Mashahidi wanasema mzunguko mmoja wa kombora ulitua katika eneo la

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>