RAIS wa Malawi, Joyce Banda amempongeza
Rais Jakaya Kikwete kwa kuimarisha demokrasia, amani na usalama katika
nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za kusini mwa Afrika (SADC).
Banda alitoa pongezi hizo jana wakati
akihutubia Mkutano wa 33 wa Wakuu wa SADC baada ya kukabidhiwa nafasi ya
uenyekiti wa jumuiya hiyo kutoka kwa Rais wa Msumbiji, Dk Armando
Guebuza.
“Wananchi wa Malawi, mimi
↧