SIKU chache baada ya serikali za Tanzania na Thailand kutiliana
saini mkataba wa kubadilishana wafungwa na kutekeleza sheria ya vifungo,
raia wa Tanzania amebambwa na dawa za kulevya nchini humo.
Mtanzania huyo aliyefahamika kwa jina moja la Kileo, alikamatwa
Jumanne wiki iliyopita katika kisiwa cha Macau akiwa amemeza dawa hizo
aina ya cocaine akielekea China.
Kwa mujibu wa maofisa wa
↧