Hili ni sakata la
kikongwe
mmoja anayedaiwa kumiliki idadi kubwa ya madanguro katika uwanja wake na
kuwapangisha makahaba katika eneo maarufu kwa jina la Kijiji cha
Makahaba.
Mwandishi wetu alipokea ujumbe mfupi ulioelezea ufuska
unaofanywa na mabinti ambao hupewa eneo na kujenga vibanda kisha kujiuza
kwa bei chee katika kijiji hicho maeneo ya Kigamboni jijini Dar.
Bada ya simu hiyo,
↧