Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MWANAFUNZI AJIUA BAADA YA KUBAKWA HUKO SUMBAWANGA

$
0
0
Mwanafunzi wa kidato cha nne, Flora Athanas (18) wa sekondari Mzindakaya wilayani hapa amejiua kwa sumu ya panya, baada ya kubakwa na mtu asiyefahamika. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda, alisema jana kuwa mwanafunzi huyo alibakwa usiku wa kuamkia Jumanne yeye na mwenzake, katika chumba walimopanga, kutokana na kukosekana kwa mabweni katika shule hiyo. Kwa mujibu wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>