Msajili wa vyama vya Siasa nchini amewaasa
wanachama na viongozi wa Chama Cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA)
kutumia muda wao kufanya shughuli za siasa ili kuchangia maendeleo ya
nchi badala ya kutumia uwezo na muda wao kubuni mambo yanayoleta
mtafaruku na kuhatarisha amani ya nchi.
Pia
amepinga tamko la chama hicho la kuanzisha mafunzo ya kujilinda kwa
vijana wake nchi nzima.Kwa
↧