Jeshi la polisi mkoa wa Singida limefanikiwa kumkamata Elibariki Alphoce
(21) mkazi wa kijiji cha Kizega wilaya ya Iramba, anayetuhumiwa kumuua
mdogo wake Mariam (9) mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya
msingi Kizega.Elibariki
anatuhumiwa kumuua mdogo wake Mariam Julai 16 mwaka huu katika kijiji
cha Kizega kwa kumkatakata kwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na
kisha
↧