WAKATI miili ya wanajeshi saba ikiwa imeagwa jana katika Viwanja vya
Makao Makuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania, imeelezwa kuwa kundi la
Janjaweed linaloungwa mkono na serikali ya Sudan ndilo lililowavamia na
kuwaua askari hao nchini humo na kuwajeruhi wengine 17 .
Wanajeshi
hao wa Tanzania ambao walikuwa ni sehemu ya Jeshi la Kulinda Amani la
Umoja wa Mataifa (Unamid), walifanyiwa
↧