Hatima ya msanii anayeshiriki katika video za wasanii wa muziki wa bongo fleva,
Agnes Jerald 'Masogange' na mwenzake Melisa Edward, waliokamatwa Afrika
Kusini na dawa za kulevya kesi yao inatarajiwa kusomwa tena tarehe 13
Agosti mwaka huu nchini humo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam,
Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Kudhibiti Dawa za Kulevya Tanzania,
Godfrey Nzowa aliweka wazi kuwa
↧