Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"ONGEZEKO LA KODI YA INTERNET NI MZIGO KWA WANANCHI"...HII NI KAULI YA TIPSA

$
0
0
CHAMA cha watoa huduma za mitandao (intaneti) Tanzania (TISPA) kimeilalamikia sheria mpya ya kodi na ushuru wa bidhaa hiyo iliyotangazwa hivi karibuni na serikali kwa kusema itachangia ongezeko la gharama za huduma hiyo kwa watumiaji wa kawaida.Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa TISPA, Gregory Almeida, alisema kuongezeka kwa gharama hizo kutafanya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles