Baada ya
kumpa shavu The Heavy Weight MC Profesa Jay kwenye joto hasira, Lady JayDee
a.k.a Anaconda anaendeleza utamaduni wa kuwapa mashavu wasanii wakongwe na
wakali..hivi karibuni alirekodi wimbo na Q chilah, and guess Who’s next, ni
Juma Kassim Nature Kiroboto.
Kupitia
akauunti yake ya twitter Anaconda amewapa fans wake good news kuhusu ujio wa
ngoma yake na Juma Nature, huku
↧