Wastara Juma amefunguka kuwa wanaume
wengi waliokuwa wakimsaidia wakati mumewe Juma Kilowoko ‘Sajuki’ akiwa
mgonjwa wanamgeuka na sasa wanamtaka kimapenzi.
Akizungumza
kupitia Kipindi cha Take-One katika Runinga ya Clouds chini ya Zamaradi
Mketema, Wastara alisema baadhi ya watu ambao walikuwa karibu naye
wakati Sajuki anaumwa sasa hivi wamegeuka na kumtaka kimapenzi, jambo
ambalo
↧