Mshiriki wa pekee katika Jumba la BBA
The Chase , Selly kutoka nchini Ghana, amesema ya kwamba yupo mbioni
kumfungulia mashtaka mshiriki kutoka nchini Tanzania Nando kwa kitendo
cha kumdhalilisha na kumsingizia amemuambukiza Ugonjwa wa Zinaa.Baada
ya kutolewa katika jumba hilo wiki iliyopita, Selly ameshauriwa na mama
yake na tayari wamewasiliana na Waandaji wa Shindano hilo. " Nimepima
↧