Waasi wa M23 wa DR Congo, wanadai kuwa wamemkamata askari wa Tanzania
anayeitwa Christopher George Yohana, wakati akishirikiana na waasi wa
Rwanda (FDLR) wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya maelfu ya Watusi mwaka
1994.
Waasi hao wa M23 wameweka picha ya passport ya mateka huyo kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter.
Kwa mujibu wa chimpreports.com,
M23 wameripoti kumkamata
↧