Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CHRISTOPHER GEORGE YOHANA NI ASKARI WA TANZANIA ALIYETEKWA NA WAASI WA M23

$
0
0
Waasi wa M23 wa DR Congo, wanadai kuwa wamemkamata askari wa Tanzania anayeitwa Christopher George Yohana, wakati akishirikiana na waasi wa Rwanda (FDLR) wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya maelfu ya Watusi mwaka 1994. Waasi hao wa M23 wameweka picha ya passport ya mateka huyo kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter.  Kwa mujibu wa chimpreports.com, M23 wameripoti kumkamata

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>