Mume na mke wakiongea
Seleman Yasin (78), mkazi wa Mtaa wa Mtamba, Msasani jijini Dar es
Salaam, juzi Alhamisi alizimia baada ya kupata taarifa za mkewe, Saida
Abdalah ‘Mama Hamisi’ (21), kunaswa kwa tuhuma za ukahaba na kupandishwa
kizimbani kwenye Mahakama ya Jiji.
Imedaiwa mahakamani hapo kuwa
Mama Hamisi alinaswa kwenye msako wa machangudoa uliofanyika usiku wa
kuamkia juzi maeneo
↧