Ikiwa ni zaidi ya mwezi mmoja toka staa wa Bongo Luca Mkenda aka Mr Nice
apoteze nafasi ya kufanya kazi na label ya GrandPa ya Kenya kwa shutuma
za uvivu, kushindwa kutoa ushirikiano na ukiukaji wa mkataba hatimaye
mlango mwingine umefunguka kwa nyota huyo wa ‘Kikulacho’.
Mr Nice ambaye bado yuko Kenya anatarajia kujiunga na label nyingine nchini humo ‘Candy Records’
ambayo ina
↧