Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CCM YAPINGA KODI YA LINE ZA SIMU

$
0
0
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekuja juu na kuitaka Serikali kuangalia njia nyingine mbadala ya kukusanya kodi na kuachana na mpango wa kuanza kuwatoza wananchi tozo ya Sh 1,000 kila mwezi kwa kila laini ya simu ya kiganjani. Hatua hiyo, inatokana na kilio cha wananchi ambao tangu Bunge la Bajeti kwa mwaka 2013/14 kupitisha sheria hiyo, kumekuwa na manung’uniko mengi.Uamuzi huo,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles