Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo, amesema watu wote waliohusika
‘kuiba’ mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino) Pendo Emmanuel (4) katika
kijiji cha Ndami wilayani Kwimba, Mwanza, wamekamatwa.
Akizungumza
wakati akiwaapisha wakuu wapya wa wilaya wa mkoa huo jana, Manju
Msambya (Misungwi), Zainab Rajab (Sengerema) na Pili Moshi (Kwimba),
Mulongo alisema watu wote waliohusika
↧