Mwanafunzi wa darasa la tano katika shule ya msingi Ilola iliyopo katika
wilaya ya Shinyanga vijijini aitwaye Veronica Venance mwenye umri wa
miaka 12 amefariki dunia kwa kupigwa na mwanafunzi mwenzake wakati
wakigombania daftari darasani kwa ajili ya kuandika notes.
Walioshuhudia
tukio hilo wamesema limetokea Februari 24 mwaka huu, saa 7 na nusu
mchana katika darasa la tano katika
↧
Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Aua Mwanafunzi Mwenzake Darasani Wakati Wakigombania Daftari la Notes
↧