Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Muimbaji wa Chamber Squad Mez B afariki dunia

$
0
0
Muimbaji wa kundi la Chamber Squad, Maze B, amefariki leo saa nne asubuhi, kwa mujibu wa mtu aliyekuwa akimuuguza.    Msanii huyo aliyewahi kufanya vyema na wimbo wake ‘Fikiria’ alikuwa amelazwa katika  hospitali ya Mwananchi mjini Dodoma. Mez B aliyezaliwa kwa jina la Moses Bushagama alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Pneumonia.   Hivi karibuni aliongea na E-News ya EATV na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles