Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu Wawili Wafariki Dunia Wakiiba Mafuta Kwenye Lori Lililopinduka jijini Mbeya.....18 Wamejeruhiwa Vibaya

$
0
0
Takribani miaka 15 imepita tangu ilipotokea ajali  katika kijiji cha Idweli wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya, iliyosababisha vifo vya watu walioungua wakichota petroli  kwenye gari lililopinduka. Hata hivyo, tukio la namna hiyo limejirudia tena kijijini hapo na safari hii watu wawili, wamekufa na wengine 18 kujeruhiwa wakati wakichota mafuta  kwenye gari lililopinduka.   Lori hilo lilikuwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>