Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendegu
**
OFISA Mtendaji wa kijiji cha Lumesule, Kata ya Lumesule, wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara, Swalehe Daimu, anadaiwa kupigwa na mkazi wa kijiji hicho, kwa madai ya kumkamata dada yake na kumtoza faini ya Sh 5,000 kwa kushindwa kushiriki shughuli za ujenzi wa maabara.
Akizungumza mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendegu, kijijini hapo jana,
↧