Suti ya Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mh Steven Wassira imegeuka gumzo mtandaoni baada ya kukosewa kufungwa vifungo vyake.....
Wassira alionekana ndani ya vazi hilo wakati wa Sherehe za Utume zilizoandaliwa na kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) na kujumuisha nchi zingine 11 za Afrika Mashariki na Kati.
Sherehe hizo zilizofanyika juzi uwanja wa taifa
↧