Mtangazaji wa kituo kimoja cha runinga nchini, Sauda Mwilima ‘Mwarabu wa Kigoma’ juzikati alionekana akiwa ameachia nido zake ukumbini.
Tukio hilo lilitokea katika Ukumbi wa Escape One, jijini Dar ambapo
Sauda alikuwa ameambatana na mumewe, Kauli Juma huku sehemu ya kifua
chake ikiacha nido zake wazi kutokana na nguo aliyokuwa ameivaa.
“Jamani hivi siku hizi imekuwa ni fasheni watu
↧