Hii bado ni habari ambayo imeendelea kukaa kwenye headlines....Siku chache zimepita tangu Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe aanguke kwenye ngazi akiwa anashuka baada ya kuhutubia wananchi na wanachama wake.
Story ziliendelea mitandaoni kuijadili
ishu hiyo, watu wa graphics nao wakatengeneza picha mbalimbali za
kuchekesha kitu ambacho kiliwakwaza viongozi wa chama cha ZANU-PF.
Leo
↧