Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Msikupuke kupeleka kesi mahakamani - Kikwete

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete amevitaka vyombo vya upelelezi kutokurupuka kwa kupeleka kesi mahakamani ambazo upelelezi haujakamilika matokeo yake wanashindwa kesi na kwamba huko ni kumnyima mtu haki kwa kupeleka mashitaka yasiyostahili.   Rais Kikwete ametoa rai hiyo jijini Dar es salaam wakati wa maadhimisho ya siku ya sheria nchini ambapo amesema watanzania lazima wapate haki tena kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>