Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali yaagizwa kutoa fedha kwa ajili ya BVR

$
0
0
Bunge kupitia kamati yake ya Uongozi limeiagiza serikali kutoa fedha za kutosha kwa ajili ya utoaji elimu na uandikishaji wapiga Kura katika daftari la Kudumu la wapiga Kura kwa mfumo wa BVR. Akitoa taarifa ya mwenyekiti  Bungeni wakati wa kuahirisha kikao cha 8 cha mkutano 18 wa bunge  jana, mwenyekiti wa Bunge Mussa Azzan alisema kuwa Serikali imeridhia kutoa fedha kwa kadri ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>