Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Aunt Ezekiel: Wanaosema Nimejifungua Wana MAPEPO

$
0
0
STAA wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel amewabwatukia watu waliomzushia kuwa amejifungua na kusema kuwa anawaona kama wametumwa na mapepo wabaya. Akizungumza na mwandishi wetu, Aunty alisema anawashangaa wanaokurupuka na kuzungumza kitu ambacho si cha kweli kabisa na kwamba hakuna mtu ambaye alikuwepo siku aliyopata ujauzito huo.   “Nafikiri watakuwa na mapepo wabaya hao wanaozungumza

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>