Mwaka jana mwishoni (2014) baada ya Diamond kukutana na wasanii
wakubwa wa Afrika wakiwemo Fally Ipupa na P-Square nchini Nigeria,
alisema “nikikutana na 18 huwa naachia bonge la shuti mpaka nishinde” na
kauli yake imetimia.
Staa huyo wa ‘Ntampata Wapi’ amefanikiwa kufanya collabo na staa wa
DRC, Fally Ipupa ambayo ni miongoni mwa nyimbo nne alizopanga kuzitoa
kati ya sasa na mwezi
↧