Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ushirikina wawakimbiza walimu vijijini

$
0
0
Imeelezwa kuwa imani za kishirikina ndiyo chanzo cha walimu kushindwa kufundisha maeneo ya vijijini pindi wanapopangiwa kutokana na kutishiwa maisha wanapotoa adhabu kwa wanafunzi wao.   Mratibu Elimu Kata ya Mvomero, Malonga Dilukwili alisema hayo jana alipozungumza na walimu, maofisa watendaji wa vijiji na madiwani kwenye mafunzo ya ufuatiliaji wa matumizi ya fedha katika elimu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>