Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Zitto Kabwe Amtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu AJIUZULU Ifikapo leo jioni

$
0
0
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amemtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ifikapo leo jioni awe ametoa tangazo katika gazeti la serikali ili kuruhusu tozo mpya za mahoteli kwenye hifadhi la sivyo ajiuzulu cheo chake. Zitto ameyasema hayo leo wakati akichangia kwenye majadiliano ya hoja za kamati bungeni.   Zitto amesema kuwa serikali inapoteza shilingi bilioni

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>